Arsenal wanakaribia kufikia makubaliano ya kumnunua mshambuliaji matata kutoka Gabon Pierre-Emerick Aubameyang kutoka Borussia Dortmund k...
Mkenya Michael Olunga aifungia klabu yake hat-trick La Liga
Mshambuliaji wa klabu ya Girona nchini Uhispania, Mkenya Michael Olunga ameweka historia siku ya Jumamosi , na kuwa mchezaji wa kwanza wa...
Tetesi za soka Ulaya Jumamosi 07.10.2017
Manchester United wanataka kumsajili mshambulaji wa Ubelgiji Dries Mertens 30. (Calcio Mercato, in Italian) Kandarasi ya Marouane Fellai...
Mwana wa George Weah aisaidia Marekani kufuzu kombe la dunia
Timothy Weah, mwana wa mchezaji bora wa soka wa mwaka 1995 George Weah , alifunga bao la ushindi huku Marekani ikiishinda Cuba 6-2 mji...
Jupp Heynckes ndiye mkufunzi mpya wa Bayern Munich
Bayern Munich imemuajiri aliyekuwa kocha wake wa zamani Jupp Heynckes kama mkufunzi wao mpya hadi mwisho wa msimu huu kufuatia kufutwa ...
BAYERN YACHAPWA BUNDESLIGA
HOFFENHEIM juzi waliwapa presha kubwa mabingwa wa Ujerumani, Bayern Munich baada ya mabao mawili ya Mark Uth kuwapa ushindi wa mabao 2-0 kwe...
OKWI: NIKIPANGWA NA MGHANA MAMBO YATAKUWA SAFI
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, juzi Jumamosi alimshuhudia mshambuliaji mwenzake wa klabu hiyo, Mghana, ...
TAMBWE: SIMBA BILA OKWI HAKUNA TIMU
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Yanga, Mrundi, Amissi Tambwe, amefurahishwa na matokeo ya bila kufungana ambayo Simba iliyapata juzi Jumamosi...
AGREY MORRIS NILIMPIGA PINI JOHN BOCCO CHAMANZI
MSHAMBULIAJI wa Simba, John Bocco, juzi Jumamosi alishindwa kuonyesha makeke yake mbele ya beki wa kati wa Azam, Agrey Morris, ambapo b...
SURE BOY SIMBA NI WAKAWAIDA SANA, BILIONI 1.3 KUSAJILI WANASHANGAZA
BAADA ya kutoka suluhu na Simba, kiungo mshambuliaji wa Azam FC, Salum Abubakar ‘Sure Boy’, amefunguka licha ya usajili wa Simba kutumia...
Kiungo wa Ivory Coast Hervey Guy atatizwa na maradhi ya moyo
Klabu ya Saudi ya Al-Qadisiyah FC, imempa ruhusa mchezaji kutoka Ivory Coast Hervรฉ Guy kuondoka klabu hiyo kwenda kupokea matibabu baada ...
Mwamuzi wa kike asimamia mechi ya wanaume Ujerumani
Bibiana Steinhaus amekuwa mwanamke wa kwanza mwamuzi kusimamia mechi ya Ligi ya Kuu ya Ujerumani, Bundesliga baada yake kusimamia mechi k...
Pep Guardiola asema hangewapa Arsenal Raheem Sterling
Meneja wa Manchester Pep Guardiola amesema hakukuwa na uwezekano wowote kwamba Manchester City wangemuongeza Raheem Sterling kwenye mka...
La Liga: PSG walifumaniwa peupe wakihadaa kifedha
Manchester City zilifanya udanganyifu wa kifedha wakati wa kipindi cha kuhama wachezaji. Akiongea katika kongamano la Soccerex mjini Ma...
Wachezaji 47 wa Afrika wanaocheza Ligi Kuu England
Katika msimu wa 2017/2018 kutakuwa na wachezaji 47 kutoka nchi za Afrika wanaochezea klabu za Ligi Kuu ya England. Hii ni kwa mujibu wa...











