0
UNHCR laonywa kuhusu hatma ya wakimbizi Uganda kutokana na ukosefu wa ufadhili
UNHCR laonywa kuhusu hatma ya wakimbizi Uganda kutokana na ukosefu wa ufadhili

Shirika la Umoja wa mataifa la maswala ya wakimbizi UNHCR nchini Uganda limepata wasiwasi wa fungu la fedha la fedha walilonalo la wakimb...

Read more »

0
Mapigano yasitishwa mji mkuu wa Yemen
Mapigano yasitishwa mji mkuu wa Yemen

Mapigano katika mji wa bandari wa Aden, Yemen, yanaarifiwa kutulia kwa sasa baada ya kutokea ghasia kati ya wapinzani wa muda mrefu, kati...

Read more »

0
Moto wateketeza nyumba nyingi mtaa wa Kijiji, Nairobi
Moto wateketeza nyumba nyingi mtaa wa Kijiji, Nairobi

Mamia ya watu wamekesha nje usiku wa kuamkia leo Jumatatu, bila ya kuwa na mahali pa kulala, nchini Kenya, baada ya moto mkubwa kuteket...

Read more »

0
Afghanistan: Kituo cha mafunzo ya jeshi chavamiwa Kabul
Afghanistan: Kituo cha mafunzo ya jeshi chavamiwa Kabul

Milio ya risasi na milipuko imesikika katika kituo cha mafunzo ya kijeshi katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, taarifa zinasema. Vyom...

Read more »

0
Ghasia Ethiopia zasababisha vifo
Ghasia Ethiopia zasababisha vifo

Vyombo vya Habari nchini Ethiopia vimeripoti kuwa watu kadhaa wameuawa katika maandamano yenye vurugu yaliyofanyika kaskazini mwa nchi hi...

Read more »

0
Sababu ya Donald Trump kujibizana na mwanamuziki Jay-Z
Sababu ya Donald Trump kujibizana na mwanamuziki Jay-Z

Rais wa Marekani Donald Trump amemjibu Jay-Z baada ya mwanamuziki huyo wa muziki wa Rap kumuita "mdudu hatari'' na kumkaripi...

Read more »

0
Washukiwa 40 wa mauaji kufuatia mgogoro wa ardhi wakamatwa na polisi Tanzania
Washukiwa 40 wa mauaji kufuatia mgogoro wa ardhi wakamatwa na polisi Tanzania

Takriban watu 40 wamekamatwa na maafisa wa polisi nchini Tanzania kufuatia mauaji ya watu wawili waliouawa kutokana na mgogoro wa ardhi w...

Read more »

0
Mataifa ya Afrika yamtaka Trump kuomba msamaha
Mataifa ya Afrika yamtaka Trump kuomba msamaha

Umoja wa Afrika unasema matamshi ya yanayodaiwa kutolewa na rais wa Marekani Donald Trump kuhusu bara Afrika ni wazi kwamba ni ya ubaguzi...

Read more »

0
Polisi wawalaumu panya kwa mihadarati iliotoweka India
Polisi wawalaumu panya kwa mihadarati iliotoweka India

Police katika mji wa Mumbai nchini India wanawalaumu panya kwa kutoweka kwa kilo 34 za dawa za kulevya kwa jina Ketamine. Wanasema wanaw...

Read more »

0
Kichwa cha mwandishi aliyetoweka chapatikana baharini Sweden
Kichwa cha mwandishi aliyetoweka chapatikana baharini Sweden

Kichwa cha mwandishi wa Sweden Kim Wall kimepatikana , miezi miwili baada ya kupotea katika ziara na raia mmoja wa Denmark. Waogeleaji ...

Read more »

0
Chadema chakosoa hali ya uchunguzi wa Tundu Lissu
Chadema chakosoa hali ya uchunguzi wa Tundu Lissu

Chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema kimeuliza maswali mengi kuhusu hatua zilizopigwa katika uchunguzi wa Mbunge wa Singida masha...

Read more »

0
Rais Magufuli alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri Tanzania
Rais Magufuli alifanyia mabadiliko baraza lake la mawaziri Tanzania

Rais Magufuli ametangaza baraza jipya la mawaziri huku kukiwa na mabadiliko kidogo ambapo amewaondoa mawaziri wanne waliokuemo katika ...

Read more »

0
Taarifa za siri za kampuni ya Apple zafuja
Taarifa za siri za kampuni ya Apple zafuja

Taarifa kuhusu simu mpya za iPhone na vifaa vingine vya Apple ambavyo havijazinduliwa zimefuja. Mitandao miwili iliruhusiwa kuona aina ...

Read more »
 
 
Top