0
     


Wafuasi wa kiongozi wa upinzani nchini Urusi Alexei Navalny wanatarajiwa kumiminika mjini Moscow kwa maandamano yasiyoruhusiwa kupinga ufisadi.
Bwana Navalny alipata kibali cha kufanya mkutano sememu nyingine lakini akasema kuwa ameuhamisha mkutano huo baada ya mamlaka kujaribu kuwahangaisha waandamanaji.
Ofisi ya mkuu wa mashataka imeinya kuwa polisi watachukua hatua dhidi ya maandamano yasiyoruhusiwa,
Maandamano madogo yanaripotwa katika miji eneo la mashariki mwa Urusi.
Wimbi la mwisho la maandamano yaliyoongozwa na Bwana Navalny yalimalizika huku mamia ya watu wakikamatwa.
Maandanoia yalikuwa makubwa zaidi tangu mwaka 2012 na kuwavutia maelfu ya watu wakiwemo vijana wengi, baada ya ripoti iliyochapishwa na Bwana Navalny, ikimshutumu waziri mkuu Dmitry Medvedev kwa kuhuika kwenyr ufisadi.
Russian opposition leader Alexei Navalny (C) attends a protest rally against the decision of Moscow mayor Sergei Sobyanin to demolish of Soviet-era apartment blocks and neighbourhoods in Moscow, RussiaHaki miliki ya pichaEPA
Image captionBwana Navalny (katikati) wakati wa maandamano ya mwezi May

Post a Comment

 
Top