0

Kiungo wa kati wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan amemshukuru Jurgen Klop kwa ushauri wake uliomsaidia kuimarika katika timu yake mpya uwanja wa Old Trafford.
Mkufunzi huyo wa Liverpool alimshauri mchezaji huyo wakati mgumu walipokuwa katika klabu ya Borussia Dortmund 2013.
"Nilipokuwa Dortmund, nilikuwa na shikinizo kubwa la kiakili baada ya kushiriki mechi chache ambapo tulikuwa hatuchezi vyema ,aliongezea Mkhitaryan, ambaye amefunga mara tano msimu huu.
''Klopp alinionyesha njia, alinisaidia na kunambia kutovunjika moyo kwa kuwa ufanisi mkubwa ulikuwa unakuja. Alinisaidia kuwa mchezaji nilivyo''.

Post a Comment

 
Top