0
Wakufunzi wa chuo cha Uandishi wa habari na utangazaji Arusha Wamezindua Mashindano ya Utangazaji kwa kufanya Vipindi Mbalimbali kuonesha Uwezo wao katika yale wanayofundisha kabla ya mashindano kuanza

ELIHURUMA CHAO Mkufunzi wa Maswala ya Production na Fundi Mitambo wa AJTC Radio akiwa Katika studio za Radio kuhakikisha Mitambo Inakaa sawa

Makamu Mkuu wa chuo cha Uandishi Wa habari na Utangazaji Arusha Bw. ELIFURAHA SAMBOTO Akiwasilisha Taarifa ya Habari

JACKLINE JOELI Mkufunzi wa Arusha Journalism Akiwa katika kipindi cha GOSPEL TIME Cha 96.6 AJTC RADIO
ONESMO ELIA MBISE kulia Mkufunzi wa Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha pia ni Mkuu wakitengo Cha utangazaji Chuoni hapo akiwa katika kipindi cha ELIMIKA NAMI

Pichani Ni STEPHEN MULAKI Katika Makala Murua ya DUNIA Makala inayohusiana na Watu wenye Ulemavu wa ngozi ALBINO
Wanafunzi wa Chuo cha Uandishi wa habari nautangazaji Arusha wakiwa makini kuwasikiliza wakufunzi wao
Mashindano hayo yataanza Rasmi Tarehe 23/05/2016 jumatatu ya wiki ijayo hadi tarehe 27/05/2016

HII NI KAWAIDA NA NI DESTURI YA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA (A..J.T.C) KILICHOPO ARUSHA MBAUDA KWA MROMBO KUANDAA MASHINDANO YA UTANGAZAJI KILA WAKATI KUWAPA UWEZO WANAFUNZI KUPAMBANA NA SOKO LA AJIRA PINDI WANAPOMALIZA CHUO

Post a Comment

 
Top