0
Kimbunga Irma kimepiga jimbo la Florida nchini Marekamani
Irma kwanza kabisa kilipiga kisiwa cha Marco magharibi mwa pwani mwa Florida, kikiwa na upepo wa kasi ya kilomita 192 kwa saa lakini tangu kwa sasa kimeshuka kutoka kiwango cha tatu hadi cha pili.
Palm trees in Bonita Springs north of Naples, FloridaHaki miliki ya pichaAFP
Zaidi ya nyumba milioni 3.4 katika jimbo la Florida hazina nguvu za umeme na sehemu za mji wa Miami zimefurika maji.
Vifo vitatu vinavyotokana na kimbunga hicho vimeripotiwa wakati Irma kikielekea sehemu za kaskazini.
Kituo cha vimbunga cha Marekani kinasema Irma kimesababisha upepo sehemu tofauti za katikati mwa Florida.
Boats at marina in MiamiHaki miliki ya pichaREUTERS
Mapema kimbunga hicho kilipiga maeneo yanayozunguka mji wa Fort Myers.
Irma tayari kimeharibu sehemu za Caribbean na kuya takriban watu 28.
Watu milioni 6.3 huko Florida wameambiwa wahame.
A vehicle passes downed palm trees in Miami, Florida. Photo: 10 September 2017Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Image captionA vehicle passes downed palm trees in Miami
Storm surge map


    Post a Comment

     
    Top