0
Waandaanaji kadha nao walijeruhiwa.
Mwandishi wa BBC aliwaona vijana kadha wakiingizwa ndani ya malori ya polisi
Maandamano zaidi yameripotiwa kutoka sehemu zingine kutoka eneo kubwa zaidi nchini Ethiopia la Oromia ukiwemo mji wa Addis Ababa.
Wakereketwa wa jamii ya Oromo wamesema polisi wamewaua ma mia ya jamaa zao na maelfu kukamatwa tangu maandamano hayo yalipoanza mwaka jana mwezi Novemba .
Serikali imetupilia mbali idadi hiyo na kusema waandamanaji hao si halali.

Post a Comment

 
Top