0
Kenya imeng'ara tena baada ya mwanariadha wake Faith Kipyegon kunyakua dhahabu ya tatu kwa ajili ya Kenya katika mbio za mita 1500 wanawake.
Kwa upande wa wanaume Mjamaica Omar McLeod naye alinyakua dhahabu ya mita 110 wanaume.
Leo baadaye pia tunategemea kuwaona tena wakenya Kipruto Conseslas, Ezekiel Kemboi na Brimin Kiprop pamoja na Jacob Araptany kutoka Uganda wakishiriki mbio za mita 3000 za kuruka maji na vihunzi.

Post a Comment

 
Top